Mgeja amlipua Job Ndugai, aitaka Serikali ing'oe jina lake kwenye majengo ya umma

Eti baadhi ya wananchi😂😂 huyo mtu mmoja ndio baadhi wananchi?? Huyu mzee mchawi nini??
 

Pumbavu kabisa! PhD za wanafiki zipo udom wakampe!
 
Watanzania bwana,kama Chungu Chungu hivi.Yaani mmoja akishasema kitu wote,hakuna akili za kujitegemea kabisa.Inachefua sana frankly.
 
Daah.

Mungu ana makusudi yake lakini nikawa Mtanzania.

Ila i wish ningekua mahali ambapo watu wanafanya discussions katika serious issues na sio mambo yasiyo na tija kabisa kama la huyu mzee
 
Job ametafunwa na karma, kuhusu maoni yake alikuwa sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…