#COVID19 Mgeja: Wanaopotosha ukweli kuhusu Chanjo ya COVID-19 washtakiwe

Kwa lipi? Ukichanjwa endelea na shughuli zako
 
Si unaona hicho kitambi kimejaa damu za dhuluma na Kodi za wizi za walalahoi
 
Wenzetu huko hadi wanatunga vitabu na vitabu vyao vinauzwa japo wanaitwa wanapotoshaji ingawa wengine ni madaktari kabisa na wakati mwengine hadi post zao hufutwa huko mitandaoni ya kijamii, huko youtube video zao hufutwa ila hatujasikia serikali kushughulika nao kama ambavyo huku watu wanataka serikali iwashughulikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…