aaaaasante..shikamoo mkubwa wangu
mimi mziki wote....live na playback....Tandale na Kariakoo....japo Playback inanikosha kwa mapambano yake..........may 1Karibu sana mkuu(usishangae ukishaingia huku wew ni mkuu tuu)
Hongera kwa kuwa man u na mimi pia ni man u chama la ukweli..
Karibu kwenye special thread yetu ya man u tushauriane mbili tatu.....vip mziki gani??? Live au playback?
Karibu sanaaa