Dah JF raha sana aiseWeka Picha Yako.
Kitambulisho cha Mpiga Kura.
Jina Kamili.
Namba ya Simu.
Mkoa, Wilaya Au Kijiji Utokacho.
Sababu Za Kujiunga JF.
Baada Ya Kukamilisha Hayo Yote Ndipo Tutakufikilia.
niliwahi sikia kuna msanii aliandika herufi (maneno) katika punje ya mchele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]konkiniliwahi sikia kuna msanii aliandika herufi (maneno) katika punje ya mchele
nashukuru kwa kunielekeza ndio maana nikasema mgeni humu
Acount yako ya jf imekamilika kwa 29℅ tu. Nadhani hujakamilisha utambulisho
yaleyale ya fb Du!
Weka Picha Yako.
Kitambulisho cha Mpiga Kura.
Jina Kamili.
Namba ya Simu.
Mkoa, Wilaya Au Kijiji Utokacho.
Sababu Za Kujiunga JF.
Baada Ya Kukamilisha Hayo Yote Ndipo Tutakufikilia.
no no nooo
huyo msanii uliambiwa yupo jf??
Unalala au unaondoka leo?
Nadhani nitapita tu, kama fb tu
Haha..!!Nashukuru ila labda ungenitakia kila la kheri, nionavyo kama nitasepa mazima
( vipi ni vibaya kusikia? ,bora uwe kiziwi mkuu eti
Ahaa..
Kumbe ulisikia...
[emoji1787][emoji1787]master[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]konki
sikutegemea haya yakuulizana umezaliwa wapi sijui mweusi au mweupe, ni kama fb kule tunaulizana umekula nini umevaa kiatu gani na na na nionyeshe mtaani kwenu basi, karibuni huku
Haha..!!
JF mbona hamjui kukirimu mgeni jamani, mpaka anasema atasepa mazima seriously??
Hivi niliwafundisha hivyo kweli??