Mgeni ila mwenyeji

Wifi ipo mwanawane? Vipi hamna makelele maana mie mikelele ya music hapana
 
Nipe chimbo mrembo amabalo mrembo mwenzio akiingia tuu kyupi imeshalowa
Kuna chimbo lile sijui hata kama lina jina 😀😀 ipo kama nyumba ya mtu kwa nje ukiingia ndani hadi parking ukiweka gari haoni mtu labda awe na lake jambo, kumetulia kuna WiFi na kuna breakfast nzuri tuu ngoja nikuuliZie jina
 
Kuna chimbo lile sijui hata kama lina jina 😀😀 ipo kama nyumba ya mtu kwa nje ukiingia ndani hadi parking ukiweka gari haoni mtu labda awe na lake jambo, kumetulia kuna WiFi na kuna breakfast nzuri tuu ngoja nikuuliZie jina
Nido Blue Birds hotel.. pale huwa ni machinjioo 😅😅😅...

kuna siku nimepaki gari, usiku napigiwa simu nimeona gari yako hapo ndani.. alinipigia sikuamini tukabaki tunachekaaa tuuu 😅😅😅.. p
 
Ngoja nisali nilale mimi mke mwema wa mtu [emoji23]

Najua nimeshafanya kondoo 1 asipoteee
 
Kuna chimbo lile sijui hata kama lina jina 😀😀 ipo kama nyumba ya mtu kwa nje ukiingia ndani hadi parking ukiweka gari haoni mtu labda awe na lake jambo, kumetulia kuna WiFi na kuna breakfast nzuri tuu ngoja nikuuliZie jina
Fanya mambo fasta kesho mechi saa sita mchana inapaswa kuanza
 
Donati ya njano na sifa ya donati ina kitobo kati,
Na wewe ni dume unajipa sifa ya donati, ndio kusema maisha yamekua magumu sanaaa kama ndio basi sio kwa JF bora nikupe chimbo wanalipa pesa nzuri kwa Donati.
Muachee aishie kuchambwaa, haijui JF vizurii huyoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila dear hujawahi kupoaa yaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…