weka picha yako tukuone mwaya
Kuna mahali humu ndani jamaa walikuwa wanakuulizia!weka picha yako tukuone mwaya
Njoo pm haraka Sana kabla hujapigwa BAN kwa kosa la kuingia bila kupita pm kwanguPyaar means love
Mie sio mhindi.
Haya
[emoji28][emoji28][emoji28], nimekupm mbona, labda hujaona
PM yangu umeiona....[emoji39] [emoji39]
Ebu nitumie wewe nione kama itafika....Hapana