kama mie mgeni mbona hujanikaribisha pmSasa mie na wewe nani mgeni JF?
WelcomeHabari ndugu zangu, poleni na mihangaiko ya siku.
Ni muda mrefu nimekuwa nikisoma michango yenu kupitia majukwaa mbalimbali, nimekuwa nikijifunza kupitia elimu muitoayo, nimekuwa nikifurahi pia kwa mabandiko mbalimbali yanayofurahisha.
Hivyo nikavutiwa nami nijiunge rasmi ili tuelimishane na kufurahi pamoja.
Naombeni ushirikiano wenu.
Habari ndugu zangu, poleni na mihangaiko ya siku.
Ni muda mrefu nimekuwa nikisoma michango yenu kupitia majukwaa mbalimbali, nimekuwa nikijifunza kupitia elimu muitoayo, nimekuwa nikifurahi pia kwa mabandiko mbalimbali yanayofurahisha.
Hivyo nikavutiwa nami nijiunge rasmi ili tuelimishane na kufurahi pamoja.
Naombeni ushirikiano wenu.