Hakufanikiwa kumgonga hata kwa mbinde?Dadeki jina lako tu umeshaniudhi, ulitaka kumgonga mke wangu, au hujui kama mimi ndio Sidhat wa humu?
Karibu sana
Karibu dada, misina bifu, bifu tuliache kwenye jamai rajaasante sana
Karib mpenzNadhani anazungumzia tamthilia za azam tv
Namaanisha karibu sana[emoji23] [emoji23]Unamaanisha nini?
Halua...kumbe uko singo unaonaje tukiwa dabo...nina elimu ya mtaani, kabila mfyomi!nishaelezea kila kitu kwenye post yangu
Sasa utabaki hivi hadi lini wakati umri unasogea?Hilo haliwezekani
Ok karibu sana humu hatunyimani huwa tunapeana tu.Habari za leo wapendwa
mimi ni mgeni naombeni mnipokee kwa mikono miwili
Jinsia mimi ni female
kabila tanzania + india
elimu degree ya PSPA
martial status single
Unaomba pasipoti mpya?... karibu sana...Habari za leo wapendwa
mimi ni mgeni naombeni mnipokee kwa mikono miwili
Jinsia mimi ni female
kabila tanzania + india
elimu degree ya PSPA
martial status single