Mgeni kukuacha na madeni kisa ukarimu


Huu upuuzi ndo ulinifanya nianzishe topic hii ni moja ya indicator ya umasikini wa mawazo.Mtu unakuta kazaa matoto saba na bado ana mimba nyingine umeona huruma umchukue mmoja umsomeshe anataka kukuongezea na wengine na ukikataa lawama
 
yaani nyie xmas na pasaka tu? ......................
tena unazungumzia habari ya extra matress? mlikuwa mna raha kweli wenzetu. sisi wageni wakiwa wengi mnalala kwenye mkeka, kwa kingoni tunaita MPASA.
 
mgeni akija lazima ukae jikoni na mama kusaidia kukatakata, maana angalau utapata utumbo na miguu. sisi kikwetu mgeni akichinjiwa kuku anapewa na chungu ili ammalize na akimbakiza tu anafungiwa aende naye.........
ila na mimi siku hizi nafaidi sana hao kuku kwa watu, na ninawaonea huruma wale watoto wmbao wanakosa huyo kuku sisi tunapofaidi, ha haaaaaaaaaa, pay back time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…