Umeniambia niniNimeshakwambia lenie
Karibu sana JFMgeni mgeni wapendwa naomba kupokelewa.
Japo siyo mgeni JF nimeanza kusoma post miaka 8 au zaidi iliyopita ila sasa nimeamua nijiunge rasmi.
Hahahaaa. Mbona umeshutuka namna hiyo mdogo. ๐ ๐Umeniambia nini
My sis acha tu, na nimestuka kweli maana sijamuelewa kwakweli๐Hahahaaa. Mbona umeshutuka namna hiyo mdogo. ๐ ๐
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.Mgeni mgeni wapendwa naomba kupokelewa.
Japo siyo mgeni JF nimeanza kusoma post miaka 8 au zaidi iliyopita ila sasa nimeamua nijiunge rasmi.
๐๐ Pole Mdogo.My sis acha tu, na nimestuka kweli maana sijamuelewa kwakweli๐
Tuko pamoja shem mana nimeshangaa kuona hujatia neno eti. Lol.Ha haaaaa shem nashukuru sana.
Na kweli itakua alifurugwa hasa๐๐๐ Pole Mdogo.
Huenda mgeni aliffuruggwa hivyo akajikuta anachanganya madesa. ๐๐
Hahahaaaa. Haya ngoja tisubiri tione mdogo. ๐๐Ila wacha nimsubiri aje aseme, labda mgeni wetu alikua na jambo zuri anataka kuniambia half akahisi kashaniambia๐
Ha haaa.....asante shem.Tuko pamoja shem mana nimeshangaa kuona hujatia neno eti. Lol.
Wasalimie huko.