Mwanangu si tunabembeleza taratibu na speed ndogo 15KPH we umeamua kuovertake na 120 KPH siyo?Samantha Lewthwaite nakupenda kinoma.
Ila broo kwa gia ulioanzia kupanda mlima hakika utawakamata wengi wakijua wewe ni pisi kumbe man boyHujakosea
Karibu piaMe naitwa Amina ni mgeni pia
Usijali Kila mtu atapataMwanangu si tunabembeleza taratibu we umeamua kuovertake siyo?
Kupata nini?Usijali Kila mtu atapata
Mibaraka ya munguKupata nini?
Samantha lewthwaite daah mpaka raha😚Nipe sababu za kupenda jina langu
Namjua pia. Hivi ashadakwa?Namjua na wewe unataka kumjua?
Kwa hiyo unataka useme tunajipeleka wenyewe kwa Mafweleh!Ila broo kwa gia ulioanzia kupanda mlima hakika utawakamata wengi wakijua wewe ni pisi kumbe man boy
Babu kwani hujaona tu?Kwa hiyo unataka useme tunajipeleka wenyewe kwa Mafweleh!
Jina zito ndio anadakagwa na kuachiwaNamjua pia. Hivi ashadakwa?
Jina zito sana kulitamka na kulitumia hilo, au nasema uongo ndugu yangu?
BarakaNini haiombwi hivo?
Sawa karibu sana mgeni 🥰Hujakosea
Bila shakaAMEN, kakuelewa nafikiri
Tulia aksoniMgeni tulia
ASanteSawa karibu sana mgeni 🥰