Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Unacheka Nini mkuu π πHahahaaa hahaha koh koh koh hhhhhm hm
My pleasureSafi sana wewe basi wewe sio mgeni tena ni vile tu ulikuwa hauwezi kuchangia mawazo yako sasa now uko huru kuchangia kwenye nyuzi za GENTAMYCINE.
WELCOME TO THE HOME OF GREAT THINKERS
Kwanini πAaah nyie mnanichanganyaπ
Yeah now tunasema ni FREE COMMENTOR and NOT FREE READER πAmetoka kifungoni
Si vibaya vomnakaribisha mgeni usiku?
ASante sanaKaribu sana jf jukwaa pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara
kuna utekaji siku hizi kuwa makiniSi vibaya vo
tuwe makini tu mkuu tusije tekwa na sisiHawa wageni wa usiku wanakuwaga magaidi
Absolutely Sasa Niko huruYeah now tunasema ni FREE COMMENTOR and NOT FREE READER π
raraa reree pamoja na min -me muda si mrefu wataanza kujaa kwenye notifications zako , ukiwaona usishtuke ni wagawa likes wa JF πAbsolutely Sasa Niko huru
ipi nyingine mkuu? naona magaidi mnanifuatilia hiviππWewe mbona una id zaidi ya moja?
Nawajua Tena huyo rara rere Huwa anafunguliwa nyuzi oftenlyraraa reree pamoja na min -me muda si mrefu wataanza kujaa kwenye notifications zako , ukiwaona usishtuke ni wagawa likes wa JF π
Sikuwahi kuwa na ID nilikuwa kama mgeni about 6 years back juzi ndo nikalimitiwa ku view post ikabidi nijiunge rasmiid yako ya zamani ipo au umesahau password ?,kwanini uje na mpya?
The fact that so many people here seem to know nothing about samantha lewthwaite, it is astonishing and sad at the same time.Sikuwahi kuwa na ID nilikuwa kama mgeni about 6 years back juzi ndo nikalimitiwa ku view post ikabidi nijiunge rasmi
Yupi huyo mkuu π π π πNdio maana yule jamaa siku hizi kapunguza kucomment, anaishia kugawa like tu π
Let them knowThe fact that so many people here seem to know nothing about samantha lewthwaite, is is astonishing and sad at the same time.