Nurudin Jr
Senior Member
- May 25, 2017
- 180
- 99
Nimewahi kuomba njiti za kiberiti ili niwashe data [emoji85] [emoji85] [emoji85]'mcheshi'
Tuambie ni jambo gani umewahi kujichekesha!!!
Mbona unajipa sifa usizokuwa nazo???Nimewahi kuomba njiti za kiberiti ili niwashe data [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Sasa nikijichekea c ndo nimefuzu auMbona unajipa sifa usizokuwa nazo???
Unachekaje kitu kisichoweza kuwachekesha wengine?
Kifupi ulijichekea.
Unamaanisha nini ??maana me mgeni na sijasomea iyo Lumumba na ufipaWe ni team Lumumba au ufipa!?
Asante sana mkuuKaribu sana
Nimejiongeza tu kwakupitia post za wenyeji ndo nlikolifahamu ilo neno PM ili nisionekane mshamba sana, na asante nashukuruMgeni mpya, unajua na PM!!!
karibu sana pia hongera kwa kuongeza ID mpya hapa JF
Asante sanakaribu sana JF....
Napajua kwa jina tu hapa hata sijui nafikaje huko PM[emoji124] [emoji124] [emoji124]Mgen ushajua mpaka PM ni wapi embu tuache kwanza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] unaongea na Mimi au unaongea na smJamba kidogo tuone ucheshi wako