MGENI MWENYEJI

D Metakelfin

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
3,399
Reaction score
3,666
Mi ni mgeni ingawa nimekuwa nikipita nje ya nyumba hii mara kwa mara nikichungulia na kuona mambo mazuri yanaendelea na mimi nimeamua kuingia naomba mnikaribishe. . NB mimi ni MWANAUME

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Karibu sana aseee.
Una bahati nimeuona uzi wako huu, kwa bahati hio nakuzawadia cheo cha ukuu.

Kuanzia leo ukiona mtu anakuita mkuu K Ni K , we elewa tu ni mimi ndiye niliyewaruhusu.
 
Karibu sana aseee.
Una bahati nimeuona uzi wako huu, kwa bahati hio nakuzawadia cheo cha ukuu.

Kuanzia leo ukiona mtu anakuita mkuu K Ni K , we elewa tu ni mimi ndiye niliyewaruhusu.
yaan ukarimu ni moja ya vitu nilivyowapendea watu wa JF ahsante mkuu asigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…