Mgeni nahitaji mapokezi yenu

Shem mi nawapendaga sana members wapya hasa wa siku hizi wamechangamka na ni wajanja mbaya kwani mie ilinichukua mwaka kujua wapi naeza kwenda na kuanzisha uzi ukafika kwenye jukwaa husika. πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli shemela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…