Mgeni naingia rasmi nikiwa na Hari mpya,Nguvu mpya na Kasi mpya

Mgeni naingia rasmi nikiwa na Hari mpya,Nguvu mpya na Kasi mpya

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Jamani msinishangae sikujua kwamba kunasehemu ya kupiga hodi mimi niliingia tu bila kukaribishwa ndo maana mimi nimekosa wenyeji wakinielekeza namna ya kutumia hii forums.Basi nimeona vema nijitambulishe humu ili nipate kufahamika ili nisiulizwe maswali mengi huko niendako.Mimi naitwa SAYANSIKIMU kabila langu ni MGOGO nimezaliwa mwaka 1992 niko SINGLE ni MKRISTO .Ni mtu mpole,mvumilivu na nina huruma sana na huwa naumi sana nionapo watu wanapigwa ban.Huu ndio wasifu wangu.Naombeni mnipokee.Msipo nikaribisha basi itabidi niondoke. ingawa niabu sana kupiga hodi bila kukaribishwa.
 
Jamani msinishangae sikujua kwamba kunasehemu ya kupiga hodi mimi niliingia tu bila kukaribishwa ndo maana mimi nimekosa wenyeji wakinielekeza namna ya kutumia hii forums.Basi nimeona vema nijitambulishe humu ili nipate kufahamika ili nisiulizwe maswali mengi huko niendako.Mimi naitwa SAYANSIKIMU kabila langu ni MGOGO nimezaliwa mwaka 1992 niko SINGLE ni MKRISTO .Ni mtu mpole,mvumilivu na nina huruma sana na huwa naumi sana nionapo watu wanapigwa ban.Huu ndio wasifu wangu.Naombeni mnipokee.Msipo nikaribisha basi itabidi niondoke. ingawa niabu sana kupiga hodi bila kukaribishwa.
Karibu sana jamvini, soma kwa umakini kanuni na sheria za JF.
 
mbukwenyi, za usolo?
abadodo baswanu?
mkulya chi?
alee sande....

welcome :nod:
 
Nafurahi sana nimeshakuwa mwenyeji nilianza juniourmember ,member,seniourmember na sasa ni Jf Seniour Expert Member. MTu ukiwa mwenyeji raha sana.hasa ukiwa na cheo cha Jf Seniour Expert Member.Wageni mlioripoti hivi karibuni jitahidini mkifikie hiki cheo maana wengine hawakifikii wanaishia kupewa life ban
 
Karibu ila iyo slogan yako umemwibia jakaya
 
Back
Top Bottom