Mgeni wa mapenzi

muulie dada usije kuta matumizi yake sawasawana serikali ya jk ndimo maana jamaa anapiga mahesabu

hamna matumiz wala nini, ndo mana nkakwambia akiwa ameishwa pesa no comunictn, dem akimpigia jamaa anakuwa kachangamka kama kawa anasema tu hakuwa na crdt, bt akipata pesa mesej na cals kwenda mbele.
 
jamaa ni mwalimu na mara nying ikifika karibia na mwisho wa mwez ndo huwa na juhud bt katikat kimya kinakuwa kingi, ndo mana dem haelew je ni ukata au?

labda kwel jaman tcha wa wa2 ana ukata , cha kufanya bishosty amvumilie 2. mvumilivu ula mbivu daima.
yy amtafute bila kucomplain. mbelen uko wanaweza kuwa poa 2.
 
labda kwel jaman tcha wa wa2 ana ukata , cha kufanya bishosty amvumilie 2. mvumilivu ula mbivu daima.
yy amtafute bila kucomplain. mbelen uko wanaweza kuwa poa 2.

OBSESD..We na mpenzio huwa mnawasiliana daily?
 
Km wanaishi mji mmoja watembeleane hata wakati wa wik endi,kwa kuonana mara kwa mara huyo dada ataujua ukweli kuliko kuishi kwa kuhic!utetezi wa jamaa hauningii akilin kbs shosti afanye uchunguzi uckute anadeal na mme wa mtu ndio maana anashindwa kua na bajet hata ya crdt kwa mwezi mzima japo kwa ajili ya kuwacliana na mpnz wake!
 
mada zingine naona za watoto kabisa tena wa form 2
wakikua watajua maswali ya kuuliza hapa JF,
NASHAURI KUWE NA JUKWAA LA WANAFUNZI WA SECONDARY.
 
mada zingine naona za watoto kabisa tena wa form 2
wakikua watajua maswali ya kuuliza hapa JF,
NASHAURI KUWE NA JUKWAA LA WANAFUNZI WA SECONDARY.

Na wewe utakuwa mwalim mkuu...mbaaavu mmxeeew..
 
nakushauri hivi,,,,,,,mchenge wewe then ukamwambie huyo jamaa hali halisi kama kitu kimchembe au kitu ovyo
 
Kitu cha kwanza, je hao watu ni wachumba au niwavunja amri ya sita. washauri kama wanakwenda kinyume na mapenzi ya mwenyezi Mungu waache mera moja maana moto unawasubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…