Mgeni wenu mie

Habari zenu, mie mgeni maeneo haya nawasalimu wenyeji wangu[emoji114]

Karibu ila huyo Mtu katika Avatar yako ni kama vile yupo katika Kumbukumbu zangu za Watu niliokwisha ' wabaiolojia ', Je ndiyo Wewe Mkuu?
 
Sawa, dawa yake ni kumeza tu jiwe.

Humu wote tulipojiunga tu na kujitambulisha tuliweka namba zetu za Simu ili Wenyeji waweze kuwasiliana nasi na kutufundisha mambo mengi mbalimbali na pia tuliweza hata kusema mahala tunapoishi na kama umeolewa au hujaolewa ila Kwako naona au nahisi umesahau hivyo si vibaya ukatufanyia sasa hili zoezi. Sijui utapenda tukuunganishe pia katika Group WhatsApp letu la Majungu Umbea Fitna Mkuu? Karibu sana Mgeni ila Avatar yako inashawishi sana ' Mabachela ' kuipigia ' Nyetoz ' kwani una Sura ya Kimahaba tupu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yani mkuu nikiona comment yako nakumbuka....raundi ya 23 iyo jitaidini jamani....ya 22 iyo....hahahaha,wakaongeza na zao 7 kutoka kambini mpaka majumbani mwaoo
Duh nilicheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…