Inaonyesha kwenye bed unamwaga sana Maji from nanii..Maji?????? Fafanua
Powered by TwawezaOhoo!
Basi naomba tuwe marafiki.Asante chura hapa sio ya kuuliza pigia mstari.
Hhaahahhahhh!Mtafute dada mmoja anaitwa joanah. Atakuonyesha kona zote za mji huu.
Pia atakuonyesha nani nyang'au na nani angalau.
Kwenye ubora wako kabisa mary karibu sanaKaribu sana mrembo.
Unapajua pm?
karibu mgeniHabari zenu, mie mgeni maeneo haya nawasalimu wenyeji wangu[emoji114]
Nimekuelewa nitajitahidi[emoji2] [emoji1] [emoji3]Hhaahahhahhh!
Mi nakuachia wewe Tyrone mofekeng umfanyie tour ya humu ndani,afu tour ya jinsia tofauti inapendeza sana😀😀...ukipata mgeni mkaka naomba unistue tafadhali😛😛
Ila mgeni karibu sana...kuwa makini sana na mtu anayeitwa Behaviourist
DJ Sepetu is my baby,usiwe unamchekea popote pale,kivyovyote vile!
iyo avatar ni wewe au ni ya msanii maana wengi wameweka picha za wasaniiHabari zenu, mie mgeni maeneo haya nawasalimu wenyeji wangu[emoji114]
Karibu sana nakukabidhi kwa Mama Sabrina atakuwa mentor wako humu.Ni mie, nitaweka ya msanii gani nawalivyo wengi humu duniani?
AsanteKaribu sana nakukabidhi kwa Mama Sabrina atakuwa mentor wako humu.