O oltukai Member Joined Mar 21, 2012 Posts 8 Reaction score 3 Mar 9, 2016 #1 Habari za Leo wakuu. Mimi ninaitwa Loth Oltukai. Ni mwanafunzi katika shule ya kimataifa ya Isamilo School Mwanza. Nifuraha yangu kuweza kuwa mmoja Wa jamii hii. Naipenda Sana nchi yangu na ningependa kuwa mmoja Wa watu Wa kuleta mabadiliko
Habari za Leo wakuu. Mimi ninaitwa Loth Oltukai. Ni mwanafunzi katika shule ya kimataifa ya Isamilo School Mwanza. Nifuraha yangu kuweza kuwa mmoja Wa jamii hii. Naipenda Sana nchi yangu na ningependa kuwa mmoja Wa watu Wa kuleta mabadiliko
amjad amrani Member Joined Jan 27, 2016 Posts 5 Reaction score 1 Mar 9, 2016 #2 Karibu sana katika jukwaa la kuleta mabadiliko upo kidato gani
O oltukai Member Joined Mar 21, 2012 Posts 8 Reaction score 3 Mar 9, 2016 Thread starter #3 amjad amrani said: Karibu sana katika jukwaa la kuleta mabadiliko upo kidato gani Click to expand... Nipo mwaka Wa mwisho .Ambayo Ni yr 13 sawa na form six kwa upande Wa NECTA
amjad amrani said: Karibu sana katika jukwaa la kuleta mabadiliko upo kidato gani Click to expand... Nipo mwaka Wa mwisho .Ambayo Ni yr 13 sawa na form six kwa upande Wa NECTA
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Mar 10, 2016 #4 KRB KIJANA KWETU WAZEE...USOME MJUKUU WETU.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Mar 11, 2016 #5 Komaa Na shule huku utapotea
sheriff john brown JF-Expert Member Joined Sep 17, 2015 Posts 717 Reaction score 714 Mar 11, 2016 #6 Karibu sana, vipi lkn mlengo wako ni ukawa ama ccm?