Huu unaitwa uchocheziSasa kaka angu ndio unamtafuta au unamsubiria. Ila nakuaminia kaka ake
Hahaaa. Umeelewaje kwani kaka? Mi namuaminia alibakari kwa kujua vyema maeneo ya zenji na vichochoro vyake.Huu unaitwa uchochezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
Wakishaoneshwa vichochoro vya mji mkongwe hawachelewi kuja ba uzi hapa,Hahaaa. Umeelewaje kwani kaka? Mi namuaminia alibakari kwa kujua vyema maeneo ya zenji na vichochoro vyake.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakishaoneshwa vichochoro vya mji mkongwe hawachelewi kuja ba uzi hapa,
oooh wanaume wote mbuzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
Mimi hapa, unapatikana wapi nikutembelee?Kumbe thatsit na yeye..... hahaha mi sikujua hivo.
Any way karibu mzenji mwenzangu
Mi kwa sasa sipatikani huko niko natafuta maisha huku kwenye jiji la wenyewe.[emoji46] [emoji46] [emoji46]Mimi hapa, unapatikana wapi nikutembelee?
Jamii Forums mobile app
Pande zp, ndio kwangu hukoMi kwa sasa sipatikani huko niko natafuta maisha huku kwenye jiji la wenyewe.[emoji46] [emoji46] [emoji46]
[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
Ni niko mzenga kama unapafahamPande zp, ndio kwangu huko
Jamii Forums mobile app
Iko Dar hiyo?Ni niko mzenga kama unapafaham
[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
Karibu mgeni,Wenyeji tupo kwa ajili yakoAsante