Baby Anka bana...Ahsanteee
Mikware yote macho kodoAhsante sanaa nimeshakaribia
Welcome,feel at homeHabari zenu,
Naomba kukaribishwa jamani.
Mimi ni mgeni humu lakini sina kamba ya mguu.
Kuna Couple Za Watu Humu Kuwa Makin SanaHahahaaaa kumbe kuna hadi couples humu