Jey Kei na Wengine wapo bize kuchakachua baraza la mawaziri. Nchi imeishauzwa kwa mafisadi.
Sidhani hata kama wana hiyo habari.
Inasikitisha sana watu wanachukua mali yetu, wanaondoka wanatuachia mashimbo na vifusi vya mawe huku hatujanufaika kitu chochote.Angalia mazingira yanayozunguika mgodi halafu linganisha na thamani ya mawe yanaochibwa hapo, unaweza kulia kwa kweli.
Pole Tanzania, CCM hii...... Ole wao!!!!!!!!!!