GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sawa bro umeeleweka.Inahitaji Akili / IQ Kubwa sana ili Kuwaelewa, ila ukiwa kama Wapuuzi wa Mkesha wa Kichawi wa Ijumaa hutowaelewa.
Uliniuliza kama bado nipo Uganda na Askari wa Museveni au bado jibu lako ni kwamba siko tu Jeshini Uganda bali pia nipo Ikulu yao kama Mtendaji na bahati nzuri hata Rais wako Samia ameshafahamishwa juu ya uwepo wangu hapa Uganda na Kazi kubwa ya Kuiheshimisha Tanzania yako / yetu kuanzia mwaka huu 2024 hadi April 2026.Sawa bro umeeleweka.
Kapicha kidogo basi ukiwa ndani ya gwandaUliniuliza kama bado nipo Uganda na Askari wa Museveni au bado jibu lako ni kwamba siko tu Jeshini Uganda bali pia nipo Ikulu yao kama Mtendaji
Itakusaidia nini? Nimempa huyo Mpumbavu mrejesho ambao alikuwa akiutaka na mwambie najiamini na nimempa uhakika wa GENTAMYCINE nilipo. Kuna Wapumbavu wanadhani walivyomjua GENTAMYCINE labda miaka ya 2016 kwenda 2017 au walivyobahatika kuniona Kawe basi ndiyo yule yule hadi leo hii 2024 wakiwa Wamesahau kuwa Mwenyezi Mungu huwa anajua wakati sahihi wa kumpa Yule ambaye Watu humdharau na kumuona si lolote wala chochote. Tena mwambie sipo tu Ikulu bali hadi Kulindwa ambako nakaa nalindwa na Wanajeshi kwa Heshima Kubwa ya Tanzania na Uganda na Urafiki wa Kifamilia pia. Mwambie huyo Juha ( Fool ) aendelee Kukariri na kudhani kuwa kwa sasa anafanana na Mimi kwa Hadhi.Kapicha kidogo basi ukiwa ndani ya gwanda
Mungu akubariki sana aise kwa maono,Inahitaji Akili / IQ Kubwa sana ili Kuwaelewa, ila ukiwa kama Wapuuzi wa Mkesha wa Kichawi wa Ijumaa hutowaelewa.
Nimecheka mpaka basi.....!!Mungu akubariki sana aise kwa maono,
hivi bado una drive zile tata za njano za wanafunzi? na bado unapaki maeneo yale yale mchana? maana kitambo sana aise