Mgogoro DRC: Tutegemee M23 kufika Kinshasa ndani ya muda mfupi

Mgogoro DRC: Tutegemee M23 kufika Kinshasa ndani ya muda mfupi

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Kwa source za ki intelgensia unaambiwa m23 wapo kila sehemu kwa sasa hawategemei struggle kuteka mji kama ilivo mwanzo uko kivu.

KWA NN BUKAVU IMEKAMATIKA KIRAISI?
m23 wamejipanga na wana intelgensia hatari wamesha sambaza wanajeshi wake congo nzima kwaiyo mkuu akifika wanapiwa taarifa wavae magwanda yao ni kama walikua bukavu toka wapo goma walisha iteka kabla ya kufika.

Pia soma: Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo
Pia soma: utabiri wangu kabla m23 hawajafika bukavu Congo: Wanadiplomasia wameondolewa Bukavu wamepekwa Rwanda. Nadhani Bukavu kutawaka moto mda siyo mrefu

Kila mkoa wamo tayari kama raia na unapofika mda wanapigiwa simu tu na kuvaa gwanda na hapo wanatangaza et wameingia na kuteka mkoa huo,

Rais kama Ana Akili ni mda wa yeye kujikimbilia mapema,ivi jioni ya leo wameingia kamanyola mji uko umbali wa 80km na uvira
 
Itachukua hadi miezi sita kwenda Kinshasa labda FRDC waasi huko Kinshasa na kufanya Coup lakini hawa Waasi hawana numbers na equipment na wako prone to counter attack.

Au labda Rwanda iingize Brigade mbili na vifaa.
 
Kwa source za ki intelgensia unaambiwa m23 wapo kila sehemu kwa sasa hawategemei struggle kuteka mji kama ilivo mwanzo uko kivu.

KWA NN BUKAVU IMEKAMATIKA KIRAISI?
m23 wamejipanga na wana intelgensia hatari wamesha sambaza wanajeshi wake congo nzima kwaiyo mkuu akifika wanapiwa taarifa wavae magwanda yao ni kama walikua bukavu toka wapo goma walisha iteka kabla ya kufika.

Kila mkoa wamo tayari kama raia na unapofika mda wanapigiwa simu tu na kuvaa gwanda na hapo wanatangaza et wameingia na kuteka mkoa huo,

Rais kama Ana Akili ni mda wa yeye kujikimbilia mapema,ivi jioni ya leo wameingia kamanyola mji uko umbali wa 80km na uvira
Unaota…, hakuna kitu kama hicho
 
Itachukua hadi miezi sita kwenda Kinshasa labda FRDC waasi huko Kinshasa na kufanya Coup lakini hawa Waasi hawana numbers na equipment na wako prone to counter attack.

Au labda Rwanda iingize Brigade mbili na vifaa.
Uko sawa, hiyo ni big ask.
 
Kwa source za ki intelgensia unaambiwa m23 wapo kila sehemu kwa sasa hawategemei struggle kuteka mji kama ilivo mwanzo uko kivu.

KWA NN BUKAVU IMEKAMATIKA KIRAISI?
m23 wamejipanga na wana intelgensia hatari wamesha sambaza wanajeshi wake congo nzima kwaiyo mkuu akifika wanapiwa taarifa wavae magwanda yao ni kama walikua bukavu toka wapo goma walisha iteka kabla ya kufika.

Pia soma: Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo
Pia soma: utabiri wangu kabla m23 hawajafika bukavu Congo: Wanadiplomasia wameondolewa Bukavu wamepekwa Rwanda. Nadhani Bukavu kutawaka moto mda siyo mrefu

Kila mkoa wamo tayari kama raia na unapofika mda wanapigiwa simu tu na kuvaa gwanda na hapo wanatangaza et wameingia na kuteka mkoa huo,

Rais kama Ana Akili ni mda wa yeye kujikimbilia mapema,ivi jioni ya leo wameingia kamanyola mji uko umbali wa 80km na uvira
Ni ndani ya wiki moja tu
 
Back
Top Bottom