big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 399
- 1,076
Wasalaam,,
Kuna majirani zetu hapa dar es salaam wananyumba imekaa mjini kabisa,,nyumba hiyo ina thaman zaid ya mil 600,,sasa ipo hivi
Hiyo nyumba kwasasa inamilikiwa na wajukuu,,,,, aliyejenga nyumba (babu choki) alishafariki mda mrefu,,watoto wa huyo mzee choki walikuwa 6 nao walikuwa hawana tamaa so hawakuuza,,,mmoja baada ya mwingne wamefariki na wa mwisho tumezika hapa karibuni,,,sasa wamebaki wajukuu tu wa mzee choki,,sasa katika watoto wa yule mzee choki mtoto mmoja wa mwisho alikuwa na mtoto mmoja tu aitwae jomo,,,ambae yupo ktk hawa wanaotaka kuuza nyumba,,lakini watoto wengne wa mzee choki wanawatoto wa kwanza anao 4, wa pili anao 5, wa tatu anao 4 ,wa nne anao 6 wa tano anawatoto 4 na huyu wamwisho alibahatika kupata mtoto mmoja tu ndio huyo niliemtaja awali aitwae jomo,,,
Sasa jomo anasema ikiuzwa nyumba pesa igawanywe kwa kila familia ya mtoto wa mzee choki ila hawa wajukuu wengne wanasema pesa ikipatikana ijumlishe idadi ya wajukuu alafu igawanywe kwa pesa iliyopo ambapo utapata 4+5+4+6+4+1=24
Kwahyo ukichukuwa let's say mill 600 ukigawa kwa wajukuu 24 means kila mmoja atapata mil 25 ,,,,,kwa hesabu hizo jomo anakuwa anapinga yeye anasema kila familia/mtoto wa mzee choki inabidi apewe mil 100 (coz wapo 6 na kuna mtu anaoffa ya mil 600) Ambapo yeye jomo peke yake anataka akunje mfukoni mil 100 hzo kwakuwa yupo pekee kwa marehem baba yake,,,,, Asante nawasilisha kwenu wataalam wa sheria mtu saidie mawazo,,,yupi yupo sahihi ktk hawa wajukuu
Nb: majina niliyotumia sio halisi
Kuna majirani zetu hapa dar es salaam wananyumba imekaa mjini kabisa,,nyumba hiyo ina thaman zaid ya mil 600,,sasa ipo hivi
Hiyo nyumba kwasasa inamilikiwa na wajukuu,,,,, aliyejenga nyumba (babu choki) alishafariki mda mrefu,,watoto wa huyo mzee choki walikuwa 6 nao walikuwa hawana tamaa so hawakuuza,,,mmoja baada ya mwingne wamefariki na wa mwisho tumezika hapa karibuni,,,sasa wamebaki wajukuu tu wa mzee choki,,sasa katika watoto wa yule mzee choki mtoto mmoja wa mwisho alikuwa na mtoto mmoja tu aitwae jomo,,,ambae yupo ktk hawa wanaotaka kuuza nyumba,,lakini watoto wengne wa mzee choki wanawatoto wa kwanza anao 4, wa pili anao 5, wa tatu anao 4 ,wa nne anao 6 wa tano anawatoto 4 na huyu wamwisho alibahatika kupata mtoto mmoja tu ndio huyo niliemtaja awali aitwae jomo,,,
Sasa jomo anasema ikiuzwa nyumba pesa igawanywe kwa kila familia ya mtoto wa mzee choki ila hawa wajukuu wengne wanasema pesa ikipatikana ijumlishe idadi ya wajukuu alafu igawanywe kwa pesa iliyopo ambapo utapata 4+5+4+6+4+1=24
Kwahyo ukichukuwa let's say mill 600 ukigawa kwa wajukuu 24 means kila mmoja atapata mil 25 ,,,,,kwa hesabu hizo jomo anakuwa anapinga yeye anasema kila familia/mtoto wa mzee choki inabidi apewe mil 100 (coz wapo 6 na kuna mtu anaoffa ya mil 600) Ambapo yeye jomo peke yake anataka akunje mfukoni mil 100 hzo kwakuwa yupo pekee kwa marehem baba yake,,,,, Asante nawasilisha kwenu wataalam wa sheria mtu saidie mawazo,,,yupi yupo sahihi ktk hawa wajukuu
Nb: majina niliyotumia sio halisi