Mgogoro na Giza la Umiliki wa Ekari 12 Mapinga Bagamoyo wengi wamerithi mgogoro bila kujua

Mgogoro na Giza la Umiliki wa Ekari 12 Mapinga Bagamoyo wengi wamerithi mgogoro bila kujua

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Naomba kuutarifu uma na Serikali kwa ujumla kwamba mimi na wenzangu kadhaa miaka ya 2010, 2011 kulikuwa na taarifa za wazi juu ya mgogoro wa eneo hilo na ukiachana na wale ambao tayari walikuwa wamenunua wengine wote waliambiwa kuhusu eneo kuwa na mgogoro na kulikuwa na kesi Mahakamani.
Japo wenyeji baadhi walidiriki kuwamisha wateja kuwa hio kesi anaedai umiliki kapigwa Kibra.

Sisi baadhi yetu si kwa uwezo wetu Bali kwa uoga wa kesi na kuitazama mbele iliyo mbali zaidi tukaachana na eneo hilo tukanunue mbali na hapo.
Serikali ni Baba na Mama wa Raia wote itende haki impatie mwekezaji eneo jingine na kumpa fidia ni muhimu kufanya hivyo.

Huu uvamizi wa eneo hilo haufurahishi na sio vema kuwaondoa Raia, mpaka sasa eneo hilo linapendeza na lina nyumba nzuri sana.


Nimechoka naishia hapa kuhusu mgogoro tutashuhudia mengi sana na haya ndio manufaa ya nyakati za uchaguzi.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Wilaya ya kinondoni Hadi bagamoyo kunaongoza Kwa migogoro ya ardhi, tatizo kila MTU anataka kuishi na kujenga wilaya kinondoni ndiyo maana wengi wenu mmejikuta mnaenda bagamoyo

Karibuni huku temeke bado maeneo yapo mengi na hakuna hizo mbanga za kutapeliwa....
Huko mmejaa wamakonde, wandenge, wazara na uswahili usioisha kaeni wenyewe, mimi nimetulia Dodoma City
 
Haya ndiyo matunda ya mama Yao anayependa kupaa angani Kila siku.matapeli wanatamba kabisa kuwa Kwa Sasa wanafanya chochote watakavyo maana mama ni kipofu.kazi anayoiweza yeye ni kuteua tu basi.
 
Haya ndiyo matunda ya mama Yao anayependa kupaa angani Kila siku.matapeli wanatamba kabisa kuwa Kwa Sasa wanafanya chochote watakavyo maana mama ni kipofu.kazi anayoiweza yeye ni kuteua tu basi.
Mgogoro katika eneo hilo umeanza siku nyingi na kesi ilikuwepo mahakamani hata yule "mungu" mnayemsifu na kumuabudu aliukuta na alishindwa kuumaliza hivyo usimpe lawama mtu kwa sababu tu unamchukia.
 
Shalom,

Naomba kuutarifu uma na Serikali kwa ujumla kwamba mimi na wenzangu kadhaa miaka ya 2010, 2011 kulikuwa na taarifa za wazi juu ya mgogoro wa eneo hilo na ukiachana na wale ambao tayari walikuwa wamenunua wengine wote waliambiwa kuhusu eneo kuwa na mgogoro na kulikuwa na kesi Mahakamani.
Japo wenyeji baadhi walidiriki kuwamisha wateja kuwa hio kesi anaedai umiliki kapigwa Kibra.

Sisi baadhi yetu si kwa uwezo wetu Bali kwa uoga wa kesi na kuitazama mbele iliyo mbali zaidi tukaachana na eneo hilo tukanunue mbali na hapo.
Serikali ni Baba na Mama wa Raia wote itende haki impatie mwekezaji eneo jingine na kumpa fidia ni muhimu kufanya hivyo.

Huu uvamizi wa eneo hilo haufurahishi na sio vema kuwaondoa Raia, mpaka sasa eneo hilo linapendeza na lina nyumba nzuri sana.


Nimechoka naishia hapa kuhusu mgogoro tutashuhudia mengi sana na haya ndio manufaa ya nyakati za uchaguzi.

Ni hayo tu

Wadiz
Sehemu inayoongoza Tanzania kwa utapeli wa viwanja na kiwanja kimoja kuuziwa watu kumi basi ni Mapinga.

Mapinga unaletewa mwenyekiti wa mtaan fake na wajumbe wake fake na mihuri fake unapigwa pesa na hawakimbii wanasubili kichwa kingine.

Mtu yeyote yule namuonya ukisikia kiwanja kinauzwa Mapinga achana nacho utapoteza pesa na muda wako.

Kuna mama namjuwa anakaa Sinza binti yake ni wakili huyo ndio anaongoza kwa kuuza kiwanja kimoja kwa watu kumi, maeneo yalikuwa ya kwake kweli lakini anachokifanya ni utapeli tu siyo maeneo yake tena.
 
Back
Top Bottom