Kuna watu wamevamia eneo langu hekari zaidi ya 30 na kuharibu miti na kulima,zaidi wananitishia maisha, nilifungua kesi ya uharibifu wa mali mahakama ya mwanzo lkn Hukumu ilitoka kuwa nikafungue kesi kwenye baraza la ardhi la kata. Sasa nifanyeje wanajf?