Mgogoro wa mipaka Kenya na Uganda; Wakenya wapoteza maisha wakiwakimbia askari wa Uganda

Mgogoro wa mipaka Kenya na Uganda; Wakenya wapoteza maisha wakiwakimbia askari wa Uganda

Ngoja Uganda wawatandike muwe na adabu
 
Usiwe na roho ya kuwaombea wananchi wa nchi za wenzako wafariki bali waombe watafute suluhisho bila ya kuuwana.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Mwana kutafuta
Umuombee lipi Wakati ujinga wake
Go go Uganda
 
Maganda yanawabagua wakenya kwamba wana corona, alafu ukimsikiliza huyo mwananchi wa mwisho kwenye clip utagundua kenya ina udhaifu
 
Kenya imezungukwa na takataka za kila aina zinazojiita majirani, wengine ni madikteta,masikini wa kutupwa,vicheche,wendawazimu,magaidi na kila aina ya uchafu[emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji30][emoji37][emoji37][emoji40].
 
Rushwa iko kwenye damu kwa askari wa Kenya na wakenya wote kwa ujumla.
Raia mmoja wa Kenya anasema maaskari wa Kenya huwaomba pesa wavuvi wa Kenya ili wawalinde dhidi ya askari wa Uganda! Wakipewa pesa wanafunga na simu!!
Huu mchezo ndio walitaka kuwafanyia watanzania kwenye sakata la Corona wakashindwa!! Walitaka watanzania wapimwe Kenya ili wapewe positive results hata Kama ni negative! lakini ukitoa pesa inabadilishwa na kuwa negative! Watanzania wakagoma, Hadi njaa ilipowanyosha wakenya wakasalimu amri na kukubali makubaliano ya awali, yaani kila nchi ipime watu wake na kutoa cheti kitachotambuliwa na nchi jirani.
 
Rushwa iko kwenye damu kwa askari wa Kenya na wakenya wote kwa ujumla.
Raia mmoja wa Kenya anasema maaskari wa Kenya huwaomba pesa wavuvi wa Kenya ili wawalinde dhidi ya askari wa Uganda! Wakipewa pesa wanafunga na simu!!
Huu mchezo ndio walitaka kuwafanyia watanzania kwenye sakata la Corona wakashindwa!! Walitaka watanzania wapimwe Kenya ili wapewe positive results hata Kama ni negative! lakini ukitoa pesa inabadilishwa na kuwa negative! Watanzania wakagoma, Hadi njaa ilipowanyosha wakenya wakasalimu amri na kukubali makubaliano ya awali, yaani kila nchi ipime watu wake na kutoa cheti kitachotambuliwa na nchi jirani.

Mipolisi ya Kenya inapenda rushwa, hata kama huna kosa lolote barabarani inakuomba uwagaie hela ya Soda/Bia bila aibu.
 
KE is a very troubled and weak country, huku wanasumbuliwa na Somalia, kule Ethiopia na sasa Uganda, what a shame...
Na bado Wanaongoza Afrika na mashariki ya Kati kiuchumi...mti wenye matunda mengi ndio hupigwa mawe.
 
Back
Top Bottom