syli mchunguzi
Member
- Jul 14, 2021
- 49
- 42
Ndiyo. Leta lingineKama inavojulikana diamond kuwa na MGOGORO na baadhi ya wasanii wenzake pamoja na MIDIA kama clouds fm na tv pamoja na eatv na radio kupiga nyimbo zake lakin na eatv kwa Sasa wanapiga ngoma zake.je,tofauti zao washazimaliza??
Vp kuhusu cloudsNdiyo. Leta lingine
Wapi nimesema diamond ni Domo?Diamond sio domo mkuu maana Kama ni Domo nadhan kila mtu ana Domo
Aliye elewa anielekeze yaani sijaelewa.Kama inavojulikana diamond kuwa na MGOGORO na baadhi ya wasanii wenzake pamoja na MIDIA kama clouds fm na tv pamoja na eatv na radio kupiga nyimbo zake lakin na eatv kwa Sasa wanapiga ngoma zake.je,tofauti zao washazimaliza??
Hujaolewa niniAliye elewa anielekeze yaani sijaelewa.
Mkuu kwahiyo ndio umeamua kunitukana?Hujaolewa nini
Sorry nilimaanisha hujaelewa Nini samahan mkuuMkuu kwahiyo ndio umeamua kunitukana?
Unaulizia kuolewa?
Hapa nilikuwa nimechukua na kamba maana ulicho andika na ukilinganisha na uhehe wangu huu ilikuwa jambo jingine.Sorry nilimaanisha hujaelewa Nini samahan mkuu
Hahahhaahaaa usjali mkuu ulitaka kujitungua mkuuHapa nilikuwa nimechukua na kamba maana ulicho andika na ukilinganisha na uhehe wangu huu ilikuwa jambo jingine.
Wanyalukolo hatuna mchezo.
Hatuchelewi sisi wanyaluHahahhaahaaa usjali mkuu ulitaka kujitungua mkuu
Mgogoro bado upo, lingineVp kuhusu clouds
Mbona clouds nyimbo zake hazipigwi na muda mrefu Sana kwaniniHana shida na Midia wala Media yoyote. Sema tu hawezi kufanya interview kigurumashi gurumashi na media zetu hizi za Bongo yeye ni brand tena brand haswa.
Kufanya interview na clouds anaweza ila bora apige hizo exclusive pale wasafi media. Hapo tu ndio ugumu ila jamaa hana taabu na media. Maana siunaona miaka miwili sasa hivi vismall tv kama you tube tv wanamuhoji bila taabu na anajibu.
OkMgogoro bado upo, lingine
ZinapigwaMbona clouds nyimbo zake hazipigwi na muda mrefu Sana kwanini
Duuhh kiukwel sjawah sikiaZinapigwa
lina bwabwajaaaDomo
Hapana sio Kama hatutafuti pesa Kwan ww unafurahi watu wakichukizana???Acheni porojo wadogo zangu tafuteni pesa na nyinyi muwe kama Diamond,watu hamjawahi hata kumiriki milioni Saba!!harafu mnataka mtu anayemiriki biliioni za pesa awe ana fikiri na kutenda kama nyinyi,tafuta huo mkwanja mrefu ndio utaelewa kwanini Mond na wasafi company wanafanya hivyo wafanyavyo.