Mgogoro wa Ukraine na Urusi: Urusi imehaiharibu ndege kubwa duniani (Antonov 225)

Mgogoro wa Ukraine na Urusi: Urusi imehaiharibu ndege kubwa duniani (Antonov 225)

DIDAS TUMAINI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
242
Reaction score
676
Hii ndio ilikua ndege kubwa Duniani, Ni ya kipekee zaidi, Na ilitengenezwa moja tu na kampuni iliyoitwa Antonov Serial Production Plant huku ikimilikiwa na Ukraine SSR.

Ilikuwa na Uwezo wa Kubeba Tani 640 hizi ni tofauti na Aeroplane au Aircraft, Hizi huitwa Airlift au Strategic Airlift cargo, Tukiwa watoto zilikuwa zikipita juu tunaita "Rocket" zikitoa kitu kama moshi mwingi, Pengine mpaka leo tunajua ni rocket wengine....

Uundaji wa ndege hii ulisimama mara nyingi kutokana na Uhaba wa pesa, Fikiria uundaji wake uliisha mwaka 1985 lakini Ukraine mpaka mwaka 2009 ilikuwa imelipa 70% tu.

Ilikuwa imetulia tarehe 24 katika Hostomel Airport ndipo ikapigwa shambulizi na Majeshi ya Urusi, Ilikuwa ndio Ndege yenye Mabawa mapana zaidi, hivyo dunia imepoteza moja ya heaviest aircraft ever built.

FB_IMG_1646126139791.jpg
 
Hii ndio ilikua ndege kubwa Duniani, Ni ya kipekee zaidi, Na ilitengenezwa moja tu na kampuni iliyoitwa Antonov Serial Production Plant huku ikimilikiwa na Ukraine SSR.

Ilikuwa na Uwezo wa Kubeba Tani 640 hizi ni tofauti na Aeroplane au Aircraft, Hizi huitwa Airlift au Strategic Airlift cargo, Tukiwa watoto zilikuwa zikipita juu tunaita "Rocket" zikitoa kitu kama moshi mwingi, Pengine mpaka leo tunajua ni rocket wengine....

Uundaji wa ndege hii ulisimama mara nyingi kutokana na Uhaba wa pesa, Fikiria uundaji wake uliisha mwaka 1985 lakini Ukraine mpaka mwaka 2009 ilikuwa imelipa 70% tu.

Ilikuwa imetulia tarehe 24 katika Hostomel Airport ndipo ikapigwa shambulizi na Majeshi ya Urusi, Ilikuwa ndio Ndege yenye Mabawa mapana zaidi, hivyo dunia imepoteza moja ya heaviest aircraft ever built.View attachment 2135011View attachment 2135010
Ule siyo moshi ni mvuke unaotokana na unyevu kuingia na kutoka kwenye injini kisha kupigwa baridi na kuganda kama mawingu, hii hufanyika kwa ndege zote zinazopita anga ya juu usawa wa mawingu.
Ndege hii haina faida kibiashara kwani ni vigumu kupata mzigo wa kuijaza, labda kama unaihamisha Tanzania kwa lengo la kuiweka karibu na Dubhai.
 
Hii ndio ilikua ndege kubwa Duniani, Ni ya kipekee zaidi, Na ilitengenezwa moja tu na kampuni iliyoitwa Antonov Serial Production Plant huku ikimilikiwa na Ukraine SSR.

Ilikuwa na Uwezo wa Kubeba Tani 640 hizi ni tofauti na Aeroplane au Aircraft, Hizi huitwa Airlift au Strategic Airlift cargo, Tukiwa watoto zilikuwa zikipita juu tunaita "Rocket" zikitoa kitu kama moshi mwingi, Pengine mpaka leo tunajua ni rocket wengine....

Uundaji wa ndege hii ulisimama mara nyingi kutokana na Uhaba wa pesa, Fikiria uundaji wake uliisha mwaka 1985 lakini Ukraine mpaka mwaka 2009 ilikuwa imelipa 70% tu.

Ilikuwa imetulia tarehe 24 katika Hostomel Airport ndipo ikapigwa shambulizi na Majeshi ya Urusi, Ilikuwa ndio Ndege yenye Mabawa mapana zaidi, hivyo dunia imepoteza moja ya heaviest aircraft ever built.

View attachment 2135011View attachment 2135010
Acha chokochoko kwani unajua idadi halisi ya wanajeshi wa Russia waliobamizwa? Zelensky jana katangaza 4600 hili pigo zaidi kwa mtu aitwae putini kuliko hiyo ndege, Ukraine wamechachaga karibu ndege 816 za kivita za russia kwenye hii vita hadi sasa., usituletee habari ndege moja ambayo huna uhakika mana hujaleta chanzo cha habari
 
Acha chokochoko kwani unajua idadi halisi ya wanajeshi wa Russia waliobamizwa? Zelensky jana katangaza 4600 hili pigo zaidi kwa mtu aitwae putini kuliko hiyo ndege, Ukraine wamechachaga karibu ndege 816 za kivita za russia kwenye hii vita hadi sasa., usituletee habari ndege moja ambayo huna uhakika mana hujaleta chanzo cha habari
Wanajeshi 4600 hahahaha na wewe una amini ni kweli alafu kasema kwake wamefariki wangap? Na amekomboa mji gani maana karibu miji yote iko chini ya urusi alafu kwA maelezo yako urusi anachapika sana
 
Acha chokochoko kwani unajua idadi halisi ya wanajeshi wa Russia waliobamizwa? Zelensky jana katangaza 4600 hili pigo zaidi kwa mtu aitwae putini kuliko hiyo ndege, Ukraine wamechachaga karibu ndege 816 za kivita za russia kwenye hii vita hadi sasa., usituletee habari ndege moja ambayo huna uhakika mana hujaleta chanzo cha habari
Akili zakuambiwa Changanya nazako
 
Wanajeshi 4600 hahahaha na wewe una amini ni kweli alafu kasema kwake wamefariki wangap? Na amekomboa mji gani maana karibu miji yote iko chini ya urusi alafu kwA maelezo yako urusi anachapika sana
Khakiv ni mji ambao russia waliuchukua baadae ukraine wakaugomboa sasa kazi inaendelea tuliza boli
 
Akili zakuambiwa Changanya nazako
uputini umekushika subiri tuone russia atatokaje kwa hivyo vikwazo maana maelfu ya raia wake wanaandama na kulalamikia collective suctions ni suala la muda tu russia watanunua chapati kwa bei ya hela ya zimbabwe
 
Nimesoma kwa kuibiaibia mtandaoni, uundaji wa hiyo ndege ulianza 1940s na kukamilika 1980s.
Bila shaka ROC ndiyo ndege kubwa iliyobaki.
 
Back
Top Bottom