Mgombea Binafsi mwaka 2016 !

Mgombea Binafsi mwaka 2016 !

The Fixer

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
1,365
Reaction score
594
Wana JF,

Nadhani bila shaka mwaka 2016 kutakuwa na Wabunge wengi sana pale Mjengoni watakao ingia kwa tiketi hii ya " Mgombea Binafsi " bila shakaaaa !

Wale wooote watakaozinguliwa na ile mizengwe yetu ya chama kutokana na makundi na kutoswa kura za maoni basi njia nzuri ya kuwakilisha jimbo imepatikana ni Mgombea Binafsi tu !

CCM ijiangalie sanaaa....

The Fixer,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom