LGE2024 Mgombea CCM: Baba wa Ufisadi ni Zinaa, Uwongo, Wizi na Uuwaji haya yote yamekatazwa Katika Amri 10 za Mungu!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa ndugu Mfaume Zuberi amesema Katika Uongozi wake atasisitiza Wananchi kuzishika Amri 10 za Mungu tena Wapigie mistari Amri ya 4 hadi 8

Zuberi amesema Uovu Wote tunashuhudia ni Kwa sababu Jamii imekosa KIASI, imemwacha Mungu na Imesahau kuwa Duniani tunapita tu utaacha ghorofa Kigamboni na kulala milele kwenye kaburi la mita 1x2

Zuberi alikuwa akihutubia mkutano wa Kampeni za CCM huko Bunju mkoani DSM

Nimeogopa sana ๐Ÿผ

Nawatakieni Dominica NJEMA ๐ŸŒน
 
For the last 20years mafisadi wametokea kwenye chama gani? Waongo? Kabla hajasema ajiangalie kwenye kioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ