LGE2024 Mgombea CHADEMA adaiwa kutekwa. Polisi kuingia mzigoni kuanza kufuatilia

LGE2024 Mgombea CHADEMA adaiwa kutekwa. Polisi kuingia mzigoni kuanza kufuatilia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.

Soma pia: Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura


chadema.png
 
Ikiwa imebaki siku moja kufanyika uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai kuwa mgombea wake katika nafasi ya mwenyekiti wa Mtaa wa Buswelu ‘A’ wilayani Ilemela mkoani Mwanza, Pastory Apolinary ametekwa.

Madai ya kutekwa kwa mgombea huyo yametolewa leo Jumanne Novemba 26, 2024, na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za kanda zilizopo Nyegezi jijini Mwanza.

Wenje amedai ofisi yake ilipokea taarifa ya mgombea huyo kutekwa jana Novemba 25, 2024, saa saba mchana baada ya kukamilisha maandalizi ya eneo ulipotakiwa kufanyika mkutano wake wa hadhara.

Hata hivyo, akizungumza kwa simu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema anaanza kufuatilia madai hayo ya kutekwa ili kubaini ukweli.
Screenshot 2024-11-26 154221.png


Chanzo: Mwananchi
 
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo
@ChademaTz
Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara. Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa. Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.
 
Wakuu,

Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, CHADEMA Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.
 
Wakuu,

Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, CHADEMA Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.
Kazi ya UVCCM hiyo watakuwa wamemuua tayari, lakini tutampigia kura tu hata kama wameshamtoa roho
 
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.

Soma pia: Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

View attachment 3162170

Ametekwa au amejiteka?
 
Afadhali wakati wa mkoloni!

..afadhali wakati wa Muingereza.

..sikuwahi kusikia Tanu wamepigwa na Polisi.

..pia sikuwahi kusikia Tanu wameenguliwa na maofisa usimamizi wa uchaguzi wa Kiingereza.
 
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.

Soma pia: Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

View attachment 3162170

Sometimes Ni Ujinga
 
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.

Soma pia: Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

View attachment 3162170

Sometimes Ni Ujinga au Kashachukua Mpunga
 
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz Kanda ya Viktoria kimetangaza kupotea kwa mgombea wa chama hicho katika kata ya Buswelu A aliyepotea kabla ya kufanya mkutano wa hadhara.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Viktoria, Ezekia Wenje amesema mgombea huyo wa kata ya Buswelu A anayefahamika kwa jina la Pastory Apolinary, jana majira ya saa saba alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mdau wa chama hicho na anataka kuwapa mchango wa kuendesha kampeni na alipoenda hakurudi tena na simu zake hazipatikani mpaka sasa.

Wenje amesema kufuatia tukio hilo chama hicho tayari kimeshatoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kufahamu waliohusika katika utekaji huo.

Soma pia: Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

View attachment 3162170

tamaa ni kitu mbaya sana aise,
chadema inafaa ichunguzwe ndrugu zangu,
ili wadau wa chadema waweze kujulikana na hiyo michango ya kupeana saa7 za mchana kweupe ilitoka kwa nan? :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom