Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa CHADEMA, Salum Mwalimu aendelea na kampeni huko Same

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
SALUM MWALIMU: MNAAMBIWA MZAE WAKATI HUDUMA YA MAMA NA MTOTO NI MBOVU

Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu akiwa Wilayani Same amesema, Rais Magufuli anawaambia watanzania wazae wakati huduma ya mama na mtoto ni mbovu.

Amesema Serikali ya Dkt. Magufuli ambaye bi Mgombea wa Urais kupitia CCM, imekuwa ikifanya biashara kwa akina mama wajawazito ambapo wakitaka kujifungua wanaambiwa waende na vifaa hospitalini.

Akigusia uwakilishi wa Vijana, Salum amesema "Vijana huu ni wakati wa kufanya maamuzi ili tukatetee maslahi ya vijana. Miaka yote tumekosa wawakilishi wa vijana kwenye ngazi za juu za maamuzi. Nitakuwa Makamu wa Rais wa kwanza mwenye umri ndogo.
-
Ameongeza kuwa, Rais Magufuli anaamini kwenye maendeleo ya vitu, anazunguka na kusema amenunua ndege lakini haziwasaidii chochote wananchi.

===========

Mpaka sasa ccm haijui cha kufanya ili kuizuia Chadema kuchukua nchi , Style mpya ya TRIANGLE ATTACK inayotumika na Chadema imewachanganya hawana cha kufanya , hawajui wamzuie nani kati ya Mwalimu , Mbowe , Mimi au Lissu


Hii ni Same ambako Mgombea mwenza amepata wasaa wa kumnadi Mgombea ubunge wa jimbo hilo ambaye ni Nangenjwa Kaboyoka


Kazi ndio kwanza imeanza
 
Watakaoipigia kura CCM.

1. Wanaonufaika na uwepo wake madarakani.
2. Wajinga + wapumbavu.

Watakaopigia kura wapinzani Ni.
1. WanaCCM walioumizwa na serikali ya Magufuli mf: vyeti feki, kikokotoo.
2. Werevu wote.
 
Wewe ndio huyo anayetambulishwa na makamu wa TFF??
 
Watakaoipigia kura CCM.

1. Wanaonufaika na uwepo wake madarakani.
2. Wajinga + wapumbavu.

Watakaopigia kura wapinzani Ni.
1. WanaCCM walioumizwa na serikali ya Magufuli mf: vyeti feki, kikokotoo.
2. Werevu wote.
Mgongo wa shangazi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…