B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,275 Reaction score 13,929 Aug 14, 2010 #21 Ntemi Kazwile said: Machafuko gani????? Mbona tunawaogopa binadamu walioumbwa kwa nyama na damu kama yetu? kwani wao hawawezi kuuwawa? Click to expand... Unaweza kuwaua kwa upinde wakati wenzio wana AK-47? Usiote ndugu yangu!! "TO EVADE A BLOW IS NOT COWARDICE"
Ntemi Kazwile said: Machafuko gani????? Mbona tunawaogopa binadamu walioumbwa kwa nyama na damu kama yetu? kwani wao hawawezi kuuwawa? Click to expand... Unaweza kuwaua kwa upinde wakati wenzio wana AK-47? Usiote ndugu yangu!! "TO EVADE A BLOW IS NOT COWARDICE"
Kafara JF-Expert Member Joined Feb 17, 2007 Posts 1,396 Reaction score 425 Aug 14, 2010 #22 dah, yaani unakwenda kumfanyizia jamaa unabeba na bingo yote uliyopewa kwa tenda hiyo! mmmh