Elections 2010 Mgombea Ubunge CCM awatukana Ma-albino

annanilea nkya,ussu malya,kiwanga na wana harakati wengine washeni moto juu ya hilo,mkinyamaza kwa maslahi yenu mtaujua mkono wa mungu
 
Wajameni hivi Boflo yu wapi? Zumbemkuu umenikumbusha huyu jamaa... Au Boflo ndio RC M.Abdulaziz???
 

Mtu mwenyewe ni mkuu wa mkoa, mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa Rais, kwa hiyo rais wa nchi kawatukana maalbino duu!!
 
Kwenye channel ten leo jioni, Mbunge wa Zamani wa Lindi mjini Mheshimiwa Mohamed Abdul Aziz atuhumiwa kuwanyanyapaa walemavu wa ngozi kwenye kampeni zake kwa kudai yule anayemsumbua kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ambaye ni mlemavu wa ngozi hafai uongozi kwa sababu tafiti za kitaalamu zimebaini ya kuwa "walemavu wa ngozi wanahitilafu kubwa za kiakili......"

Mmoja wa walemavu hao wa ngozi amekwenda kushitaki kwenye kituo cha Haki na sheria - LHRC- hapo Dar na kituo hicho kimekemea vikali tabia hizo za kuwanyanyapaa walemavu wa ngozi
 
Ni kitu cha kusikitisha sana kwa mheshimiwa huyo kutoa maneno yenye kuonyesha unyanyapaa. nadhani angetumia maneno ya busara zaidi katika kujipigia kampeni badala ya kutumia ulemavu wa mpinzani wake kama kikwazo cha yy kugombania nafasi hiyo. am so disappointed in him.......
 

Mr Public Policy Analyst,

I am starting to doubt ur credentials, if you have any....

Ni wapi na ni nani alisema maneno hayo aliyasema Mohamed Abdula Aziz?

Kumbuka wale asilimi sitini ya wana JF waliopo Tanzania wengi wao huwa wanaangalia luninga tena zaidi ITV. Sasa kama yule jamaa wa LHRC alisema kuwa ni kampeni meneja wa Abdul Aziz na siyo Abdulaziz mwenyewe ndiye aliyesema haya, sijui lengo lako litakuwa nini......Kupotosha ama zile propaganda zenu za kawaida?
 
huyo kampeni meneja si alisimama badala yake unasema nini sasa! Au ndo yaleyale wasaidizi wake ndo wanamwangusha!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…