Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe kupitia ACT-Wazalendo ajitoa

Mocumentary

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
806
Reaction score
2,049
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia chama cha ACT, Edward Deogratius Kabika amejitoa kuendelea na mchakato wa kuwania Ubunge kwenye Jimbo hilo kwa madai ya kukosa sera na kwamba mgombea mwenzake wa CCM Doto Biteko amezungumza mambo yote aliyotaka kuyazungumza.

 
Jimbo la Busanda mpeni na Kurwa Biteko na Bukombe abakie Doto Biteko mtakuwa mmemaliza kazi ili mtawaliwe na kuburuzwa vizuri.
 
Muamala ushathibitishwa
ACT Wazalendo wamejimaliza wenyewe...Maalim Seif na Zitto wanamuunga mkono TL huku wakiwa na mgombea- Membe...huko Zanzibar Maalim atabwagwa vibaya Sana ...hata asilimia 30 hatapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…