Uchaguzi 2020 Mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia CUF, Salmini Kisamo afika ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Kinondoni kuchukua fomu

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la kawe kupitia chama cha wananchi CUF, Mhe. Salmini Kisamo mapema Leo alifika ofisi za msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Kinondoni na kuchukua fomu.

 
Mh, haya bwana! Kama atapata kura 10 mniite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…