Mgombea ubunge jimbo la Mufindi kupitia CHADEMA, Titho Emanuel atekwa akiwa njiani kurudisha fomu

Mgombea ubunge jimbo la Mufindi kupitia CHADEMA, Titho Emanuel atekwa akiwa njiani kurudisha fomu

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Mgombea Ubunge jimbo la Mufundi kwa tiketi ya CHADEMA, Titho Emmanuel Kitalika ametekwa na watu wasiojulikana wakati akiwa njiani kwa ajili kurudisha fomu ya kugombea ubunge jimbo hilo. Amepigiwa simu akasikika akipiga kelele akilalamika wananiteka.

Mufindi.jpg
 
CHADEMA naona mnaufanyia kazi huu mpango wa kibeberu kuichafua nchi ili mkishindwa jamaa wainilie kati?
Ninyi watu si wema kabsa kwa familia zetu.

Mnachokitaka kikitokea hakitachagua wana-CCM pekee na familia zao. Tusiokuwa na kwa kukimbilia tutabaki kuitetea nchi huku tukiomba Mungu kama ilivyokuwa kwenye janga la COVID-19.
 
Tumepokea taarifa kuwa mgombea wetu huko Mufindi ametekwa, aidha akipigiwa simu zinasikika tu kelele.
Vipi mtangaza vifo vya corona naona sasa umehamia kutangaza kutekwa kwa wagombea fake wa Saccos ya Chadema!! Hata hili nao utashindwa tu kama ulivyoshindwa la kutangaza vifo vya corona.
 
Ametekwaje wakati waliambiwa ni marufukukurudisha form ukiwa pekeako au mkiwa wachache? Isije kua kuna wagombea wachache wamepewa hela na kukihujumu chama.
Mkuu wagombea Chadema wanauza Fomu mchana kweupe bila haya ukiwalipa wanasema wameporwa na wasiojulikana . Chadema sijui wafanyaje kuwadhibiti hao wauza Fomu
 
CHADEMA naona mnaufanyia kazi huu mpango wa kibeberu kuichafua nchi ili mkishindwa jamaa wainilie kati?
Ninyi watu si wema kabsa kwa familia zetu.

Mnachokitaka kikitokea hakitachagua wana-CCM pekee na familia zao. Tusiokuwa na kwa kukimbilia tutabaki kuitetea nchi huku tukiomba Mungu kama ilivyokuwa kwenye janga la COVID-19.
CCM kweli na siasa zenu za majitaka!
 
Huyo mzembe, lissu alishawatadharisha. Alikuwaje peke yake? Isije ikawa mipango
 
Back
Top Bottom