Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,864
Kwani msikitini haziendi? Tena zinatokea kanisaniMaaskofu wetu wanasubiri sadaka jumapili
Kuna haja ya kuendelea na huu uchaguzi uchwara?
Kuna namna.Bado tu kuna mtu anaamini ni ccm ndio wanafanya haya?
Pale karibu na soko la feli eti?Kuna mahali tumemuweka mgonjwa mmoja wa akili na ndio chanzo cha yote haya!
Wauza fomu hao, walituambia watasindikizana wakati wa kupeleka fomu Sasa wanajificha eti hajulikani alipo? Subirini muda upite utamkuta bar anajipongeza na Mbowe.Nao Chadema waache ujinga wao, hao chadema ni juhudi gani walizitumia kuwalinda hao wagombea wao, wakati hizo njama za kuwateka wagombea wao zilikua zinajulikana mapema. Kwa nini wasingeweka ulinzi kwa wagombea wao
Kuna cross reading baada ya uchaguzi na kila tukio linarekodiwa na kuhifadhiwa vizuri kwa matumizi ya baada ya uchaguziKuna haja ya kuendelea na huu uchaguzi uchwara?
Wanauza majimbo hao mkuu, mtu anaona bora achukue milion 5 afanye biashara kuliko aibu ya kushindwa kwenye kuraWalishambiwa wakirudisha form waende kikundi. Sasa kama yuko peke yake tutaaminiji
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ushahidi ulizia ukara huko ukelewe, mtekaji mmoja wananchi wamemtanguliza mbele ya haki, nawahuni wengine wawili wakakimbia.Muwe mnaweka na ushahidi namna alivyotekwa! Kama siyo maelekezo kutoka kwa Amsterdam kuwa mtengeneze matukio, basi, muandike kuwa "Ndugu Peter hajulikani halipo" !
Wengine wanajitekaHuko Mvomero mgombea ubunge kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na mpaka sasa haijulikani alipo
Na kweliMjasiriamali kwa tiketi ya CHADEMA kachukua pesa yake na kujiondoa kwenye kinyang'anyiro! Mbinu ile ile ya tangu zamani, kwanini hamshtuki nyie akina Mbowe?