mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Acha hizo propaganda tena una dhambi kubwa kuwasemea watu waliopigika kimaendeleo waonekane wameridhika na hali yao wakati kiuhalisia sivyo!Kijana miezi mitatu ya kempeni nimefika sumbawanga
Mimi sio mtu wa porojo
Acha hizo propaganda tena una dhambi kubwa kuwasemea watu waliopigika kimaendeleo waonekane wameridhika na hali yao wakati kiuhalisia sivyo!
Lissu Alimgongea Maguful pale sumbawanga na walifurahi sanaWanasumbawanga huwaambii kitu kwa Magufuli
Ukitaka wakukimbize mseme vibaya Magufuli
Sumbawanga ipi? Unayoisema?Wanasumbawanga huwaambii kitu kwa Magufuli
Ukitaka wakukimbize mseme vibaya Magufuli
We endelea na hizo porojo lakini wao tayari washajitambua!Mkuu mimi nipo field sina haja ya kukudanganya
Sumbawanga is for Magufuli kuanzia vijana hadi wazee
Alikuja mgombea mwenza wa Green mixer njano, watu walicheza mziki wa Alikiba hafu wakasepa bila kumsikilizaMkuu mimi nipo field sina haja ya kukudanganya
Sumbawanga is for Magufuli kuanzia vijana hadi wazee
We endelea na hizo porojo lakini wao tayari washajitambua!
Sumbawanga ipi? Unayoisema?
Lissu Alimgongea Maguful pale sumbawanga na walifurahi sana
Unawesemea? Wamekutuma? Mbona wakijani mnakuwa hivi?Wanasumbawanga huwaambii kitu kwa Magufuli
Ukitaka wakukimbize mseme vibaya Magufuli
Wewe ni mtumwaWanasumbawanga huwaambii kitu kwa Magufuli
Ukitaka wakukimbize mseme vibaya Magufuli
Jifariji kama hujui kuwa 2015 Halmashauri ilichukuliwa na CDM baadaye ukafika muda wa manunuziI have been there, Sumbawanga is in love with his Excellency President Magufuli
Ni jukumu lake kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM kama mwanachama na mgombea ubunge.Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?
Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?
Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.
Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.
Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.
Wanasumbawanga huwaambii kitu kwa Magufuli
Ukitaka wakukimbize mseme vibaya Magufuli
Jifariji kama hujui kuwa 2015 Halmashauri ilichukuliwa na CDM baadaye ukafika muda wa manunuzi
Hata wanachama wa CCM wenye shida ya maji na ambao ndo wapiga kura nao wamechoka hoi lakini yalivyo majinga hata yale ya Sumbawanga yatakuwa msitari wa mbele kuwapigia kura wagombea wote waliochoka ili Flyovers Dar ziendelee kujengwa na madege yaendelee kununuliwa kukamilisha Chato kuwa Ulaya.Ukijiuliza Ubungo Interchange na Sumbawanga wapi na wapi. Yaani wakupe kura kwa sababu ya flyover za Dar. Hivi wabunge wa CCM wanajielewa kweli?
Mgombea anajikakamua kweli kweli kuhusu ndege Rais alizonunua na jimbo lake wapi na wapi? Wagombea ubunge wameshindwa wengi wao kujipambanua wao kama wao kwanini achaguliwe tena?
Mgombea anaomba kura kwa kuaambia nipeni kura nikaungane na Magufuli tukanunue ndege zingine. Wakati huo wananchi hawana maji, halo zao ni mbaya kweli.
Sio mantiki ya kuwachagua wambuge wa CCM.
Naona CCM imechoka hoi ipo taabani kweli, mgombea wa juu, kachoka, wabunge wamechoka, madiwani ndo usiseme. Kazi kwenu wananchi.
NipoHata wanachama wa CCM ambao ndo wapiga kura nao wamechoka hoi lakini yalivyo majinga hata yale ya Sumbawanga yatakuwa msitari wa mbele kuwapigia kura wagombea wote waliochoka ili Flyovers Dar ziendelee kujengwa na madege yaendelee kununuliwa ili Chato iwe kama Ulaya.