Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 200
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Bibi Hawa Ng'ambi, usiku huu alishindwa kujizuia na kupandisha hasira kiasi cha mara kwa mara kumzonga mwendeshaji wa kipindi cha mchakato majimboni kilichokuwa kikiendeshwa na kurushwa na TBC baada ya kuulizwa swali aelezee ushiriki wake katika uuzwaji wa nyumba ya Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) Kinondoni ambapo yeye alikuwa kiongozi wa ngazi ya wilaya.
Alimzonga mwendeshaji wa kipindi akitaka kupatiwa upendeleo wa kujieleza na zaidi. Ilibidi wahudhuriaji waanze kumzomea kwa jinsi alivyokuwa akionyesha kutaka kumruhusu Mama huayo kugeuka ndiye mwendeshaji wa kipindi; ndipo mwendeshaji akapata ujasiri wa kuendelea kusimamia kipindi kama alivyokuwa akifanya kutoka mwanzo.
Yaani CCM imetapakaa mafisadi wakubwa na wadogo. Kwa jinsi alivyoonyesha kupandisha na kutishia kwenda mahakamani ni wzi kuwa alihusika na kashafa hiyo.
Jibu la aliyeuliza swali hilo nalo lilikuwa bomba "Mahakama zimetengenezewa watu na sio wanyama".
Mwenye habari kamili atahabarishe
Alimzonga mwendeshaji wa kipindi akitaka kupatiwa upendeleo wa kujieleza na zaidi. Ilibidi wahudhuriaji waanze kumzomea kwa jinsi alivyokuwa akionyesha kutaka kumruhusu Mama huayo kugeuka ndiye mwendeshaji wa kipindi; ndipo mwendeshaji akapata ujasiri wa kuendelea kusimamia kipindi kama alivyokuwa akifanya kutoka mwanzo.
Yaani CCM imetapakaa mafisadi wakubwa na wadogo. Kwa jinsi alivyoonyesha kupandisha na kutishia kwenda mahakamani ni wzi kuwa alihusika na kashafa hiyo.
Jibu la aliyeuliza swali hilo nalo lilikuwa bomba "Mahakama zimetengenezewa watu na sio wanyama".
Mwenye habari kamili atahabarishe