Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa ACT-Wazalendo awasilisha majibu ya pingamizi alilowekewa, atinga 'kininja' kukwepa maafisa uhamiaji

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Mgombea Ubunge katika jimbo Pangani kupitia chama cha ACT Wazalendo , ndugu Msagati ametinga kwa Msimamizi wa Uchaguzi kuwasilisha pingamizi dhidi ya mgombea wa CCM (Aweso), na kuwasilisha majibu ya pingamizi alilowekewa huku akiwa kavalia nguo iliyofunika uso wake ili kuwakwepa maafisa Uhamiaji waliosemekana kutaka kumkamata.

 
Picha unazoona hapa ni za mtu mmoja na siyo watu wawili tofauti. Ni mgombea wa ACT Wazalendo jimbo la Pangani ambaye alieenguliwa alipokuwa akiwasilisha pingamizi lake.

Amelazimika kuvaa hivi ili kukwepa kutekwa kwa mara ya pili kama ilivyokuwa jana. Akiwa anaelekea kwa msimamizi



Akiwa ndani ya ofisi ya msimamizi
 
[emoji38][emoji38][emoji38] nimecheka kwa sauti hadi watu hapa wamedhani nimewehuka, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kuna mwanamke gani anae vaa baibui na mokasi za kiume? Dereva nishushe hapo kituoni basi limekolea pilipili. 🀣


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…