Pre GE2025 Mgombea Uenyekiti BAZECHA aahidi kuwapeleka wajumbe Makka

Pre GE2025 Mgombea Uenyekiti BAZECHA aahidi kuwapeleka wajumbe Makka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), John Mwambigija maarufu ‘Mzee wa upako’ akiomba kura kwa wajumbe huku miongoni mwa sera yake ni kuwapeleka wajumbe wa baraza hilo kuhiji Makka.

Uchaguzi huo unaendelea usiku huu Jumanne Januari 14, 2025 katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Soma, Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (Bazecha) CHADEMA Taifa 2025

Msingi wa hoja hiyo ya Mwambigija amedai kuwa ni kutekeleza wajibu wake na kubarikiwa na Mungu.

Pia ameahidi atatengeneza mpango mkakati ya kukifanya chama kiheshimike katika kusuluhisha matatizo yanayojitokeza ndani badala ya kwenda kuomba upatanishi nje ya taasisi hiyo.
1736839878144.png
 
Hata hivyo mzee wangu huyu pamoja na hoja yake hii nzuri kura zake hazikutosha
 
Wakuu

Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), John Mwambigija maarufu ‘Mzee wa upako’ akiomba kura kwa wajumbe huku miongoni mwa sera yake ni kuwapeleka wajumbe wa baraza hilo kuhiji Makka.

Uchaguzi huo unaendelea usiku huu Jumanne Januari 14, 2025 katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Msingi wa hoja hiyo ya Mwambigija amedai kuwa ni kutekeleza wajibu wake na kubarikiwa na Mungu.

Pia ameahidi atatengeneza mpango mkakati ya kukifanya chama kiheshimike katika kusuluhisha matatizo yanayojitokeza ndani badala ya kwenda kuomba upatanishi nje ya taasisi hiyo.
Daaaaa demokrasia imekuwa sanaaaa.....acha wachague wamtakaeee
 
Wakuu

Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), John Mwambigija maarufu ‘Mzee wa upako’ akiomba kura kwa wajumbe huku miongoni mwa sera yake ni kuwapeleka wajumbe wa baraza hilo kuhiji Makka.

Uchaguzi huo unaendelea usiku huu Jumanne Januari 14, 2025 katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Soma, Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (Bazecha) CHADEMA Taifa 2025

Msingi wa hoja hiyo ya Mwambigija amedai kuwa ni kutekeleza wajibu wake na kubarikiwa na Mungu.

Pia ameahidi atatengeneza mpango mkakati ya kukifanya chama kiheshimike katika kusuluhisha matatizo yanayojitokeza ndani badala ya kwenda kuomba upatanishi nje ya taasisi hiyo.

View: https://youtu.be/MbzpiVBIV_c
 
Kwenda maka ni kuwaongezea fedha za kigeni Saudia Arabia

Lile jiwe pale ni sawa na lile la Mbozi mbeya ,

Hata sisi tukilipromoti tungepiga pesa nyingi sana za utalii
 
Kwenda maka ni kuwaongezea fedha za kigeni Saudia Arabia

Lile jiwe pale ni sawa na lile la Mbozi mbeya ,

Hata sisi tukilipromoti tungepiga pesa nyingi sana za utalii
Eti Shetani anauliwa Kwa Mawe Na NI Zoezi La Kila Mwaka Tangu Na Tangu Mawe Yote Hayo Huyo Shetani Hafii Tuu,,,Alafu Shetani Yupo Eneo/Jengo Wanaloita Takatatifu La Msikiti Mkubwa Zaidi Duniani,,Binadamu Vichaa
 
Eti Shetani anauliwa Kwa Mawe Na NI Zoezi La Kila Mwaka Tangu Na Tangu Mawe Yote Hayo Huyo Shetani Hafii Tuu,,,Alafu Shetani Yupo Eneo/Jengo Wanaloita Takatatifu La Msikiti Mkubwa Zaidi Duniani,,Binadamu Vichaa
Ile ni project ,na aliyeibuni aliona mbali,

Saudia Arabia Ina uhakika wa kuingiza mamilioni kila mwaka ya mahujaji

Upo ushahidi wa kihistoria kabisa lile jiwe lilikuwa la wapagani ,wajanja wakaliteka na kugeuza mradi,

Sasa zaidi ya miaka 1000 watu wanapiga pesa tu za utalii

Hii ni moja ya project kabambe kuiona

Mambo ya kijinga kama haya ndio yanafanya wale Atheist waone dini ni utapeli tu
 
Ile ni project ,na aliyeibuni aliona mbali,

Saudia Arabia Ina uhakika wa kuingiza mamilioni kila mwaka ya mahujaji

Upo ushahidi wa kihistoria kabisa lile jiwe lilikuwa la wapagani ,wajanja wakaliteka na kugeuza mradi,

Sasa zaidi ya miaka 1000 watu wanapiga pesa tu za utalii

Hii ni moja ya project kabambe kuiona

Mambo ya kijinga kama haya ndio yanafanya wale Atheist waone dini ni utapeli tu
Mikumi Ya Huko
 
Wakuu

Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), John Mwambigija maarufu ‘Mzee wa upako’ akiomba kura kwa wajumbe huku miongoni mwa sera yake ni kuwapeleka wajumbe wa baraza hilo kuhiji Makka.

Uchaguzi huo unaendelea usiku huu Jumanne Januari 14, 2025 katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Soma, Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (Bazecha) CHADEMA Taifa 2025

Msingi wa hoja hiyo ya Mwambigija amedai kuwa ni kutekeleza wajibu wake na kubarikiwa na Mungu.

Pia ameahidi atatengeneza mpango mkakati ya kukifanya chama kiheshimike katika kusuluhisha matatizo yanayojitokeza ndani badala ya kwenda kuomba upatanishi nje ya taasisi hiyo.
Hawa ndio wanataka wapewe nchi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu alishinda ubunge lakini akapewa hela Sauli akakubali kuachia jimbo. Takataka kabisa
 
Katika Moja ya jambo kubwa lililotokea Jana ni hili la Mgombea kutoa ahadi la wajumbe kuwa kama yeye atakuwa ni mwenyekiti, Basi atawapelekea MAKKA!
 

Attachments

  • img_1_1736850833199.jpg
    img_1_1736850833199.jpg
    43.7 KB · Views: 6
Sasa weeh mgalatia kwa nini ushindwe kuwapeleka watu Mbozi ukajipigia hela?
 
Ile ni project ,na aliyeibuni aliona mbali,

Saudia Arabia Ina uhakika wa kuingiza mamilioni kila mwaka ya mahujaji

Upo ushahidi wa kihistoria kabisa lile jiwe lilikuwa la wapagani ,wajanja wakaliteka na kugeuza mradi,

Sasa zaidi ya miaka 1000 watu wanapiga pesa tu za utalii

Hii ni moja ya project kabambe kuiona

Mambo ya kijinga kama haya ndio yanafanya wale Atheist waone dini ni utapeli tu
Yanii waislam waanzishe project ya kupiga hela tena mwarabu wa Saudi tuu toka kitambo hicho hana teknolojia....
Ndo mshindwe nyie kweli?..Msaudia awashinde wazungu kupiga hela za ulimwengu mzima unaenda Makka...acheni nyiee ujinga wenu kama mmeshndwa kumzuia Papa kubariki ndoa za mashoga mtauweza uislam?..Na Papa ameshawaambia Africa mtakubali tu kidogo kidogo yanii hapo ana maana kuwa kipo kizazi kitakubali kufirika kama sio wewe basi kizazi chako,...Dini daily ina matamko na maagizo hayaishi kutwa ulimwengu mzima mnatokewa na Yesu ukienda Zambia Kenya Zimbabwe Mozambique South africa Ghana Nigeria kote huko nimepita wachungaji wanatokewa na Yesu kweli?
 
Yanii waislam waanzishe project ya kupiga hela tena mwarabu wa Saudi tuu toka kitambo hicho hana teknolojia....
Ndo mshindwe nyie kweli?..Msaudia awashinde wazungu kupiga hela za ulimwengu mzima unaenda Makka...acheni nyiee ujinga wenu kama mmeshndwa kumzuia Papa kubariki ndoa za mashoga mtauweza uislam?..Na Papa ameshawaambia Africa mtakubali tu kidogo kidogo yanii hapo ana maana kuwa kipo kizazi kitakubali kufirika kama sio wewe basi kizazi chako,...Dini daily ina matamko na maagizo hayaishi kutwa ulimwengu mzima mnatokewa na Yesu ukienda Zambia Kenya Zimbabwe Mozambique South africa Ghana Nigeria kote huko nimepita wachungaji wanatokewa na Yesu kweli?
Tuliza jazba utaelewa lile jiwe jeusi ni sawa na Kimondo kile cha pale Mbozi

Ibada ya lile jiwe jeusi ni biashara ya watu

Ulivyo mbumbumbu unapaniki hujui kuwa hata Utawala wa kifalme hapo SAUDIA umewekwa na muingereza , Saudia na Marekani ni washirika wazuri tu pia

Wewe unakaza fuvu huku unakula ubwabwa
 
Mbumbu wewe usiyejielewa uwepo mwingereza au USA hapo Saudia hilo ni jambo jipya?..au linahusiana na hilo jiwe pia?..una kimondo Mbeya sawa na msaudia kinachokufanya usipige hela ni nini?
Sikiliza weeh mgalatia subiria project ya Papa keshasema mtaelewa kidogo kidogo Africa nini maana ya kufirika hii project isipokupata wewe basi kizazi chako mtafirika tuu...mana'ke mie na wewe hatujui tutaishi miaka mingapi kaburini
 
😂
Chadema wanazidi kuchanganyikiwa, huyu mwngn huku anasalimia kabisa 😂

 
Back
Top Bottom