OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Oct 19, 2020 #1 Mgombea huyu wa urais kwa Zanzibar ametoa sera zake na kaweka wazi kabisa ktk serikali yake ukikutwa na bangi 1 hutokamatwa.
Mgombea huyu wa urais kwa Zanzibar ametoa sera zake na kaweka wazi kabisa ktk serikali yake ukikutwa na bangi 1 hutokamatwa.
XII Tz JF-Expert Member Joined Aug 16, 2020 Posts 4,345 Reaction score 7,076 Oct 19, 2020 #2 Duh! kwa uhalalishi huu naona anataka wajuba tuanze kutembea barabarani tukiwa tunafuka moshi.
Mtende JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 6,385 Reaction score 7,332 Oct 19, 2020 #3 OKW BOBAN SUNZU said: Mgombea huyu wa urais kwa Zanzibar ametoa sera zake na kaweka wazi kabisa ktk serikali yake ukikutwa na bangi 1 hutokamatwa Click to expand... Hahaha duuh mpaka uchaguzi usidhe tutakua tumeshiba sera za kila aina
OKW BOBAN SUNZU said: Mgombea huyu wa urais kwa Zanzibar ametoa sera zake na kaweka wazi kabisa ktk serikali yake ukikutwa na bangi 1 hutokamatwa Click to expand... Hahaha duuh mpaka uchaguzi usidhe tutakua tumeshiba sera za kila aina
tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 11,931 Reaction score 15,849 Oct 19, 2020 #4 Huyu nae anataka kuongoza nchi kweli?