Pre GE2025 Mgombea Urais: Boni Yai wa CHADEMA asema " Mwaka 2025 kunaweza kutokea Surprise kubwa kuliko Mnavyotegemea"

Pre GE2025 Mgombea Urais: Boni Yai wa CHADEMA asema " Mwaka 2025 kunaweza kutokea Surprise kubwa kuliko Mnavyotegemea"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob aka Boni Yai amesema kuliko ilivyozoeleka mgombea Wao wa Urais wa JMT 2025 atawashangaza wengi

Huenda ikawa ni Surprise kubwa, amesema Kiongozi huyo wa Chadema

Taarifa hii itawachanganya Makamanda wengi wanaoamini Mgombea Urais atakuwa Tundu Lisu

Aidha wako wanaodai Surprise hiyo itakuwa Mh Mchungaji Msigwa atakayerejea Chadema na kupewa Fursa ya kugombea Urais

Credit: Mwananchi

Usiku Mlale Unono 😀
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob aka Boni Yai amesema kuliko ilivyozoeleka mgombea Wao wa Urais wa JMT 2025 atawashangaza wengi

Huenda ikawa ni Surprise kubwa, amesema Kiongozi huyo wa Chadema

Taarifa hii itawachanganya Makamanda wengi wanaoamini Mgombea Urais atakuwa Tundu Lisu

Aidha wako wanaodai Surprise hiyo itakuwa Mh Mchungaji Msigwa atakayerejea Chadema na kupewa Fursa ya kugombea Urais

Credit: Mwananchi

Usiku Mlale Unono 😀
Sisi chadema tumeshakubaliana Mgombea wetu ni Mwigulu Nchemba au Diamondi Platunamu
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob aka Boni Yai amesema kuliko ilivyozoeleka mgombea Wao wa Urais wa JMT 2025 atawashangaza wengi

Huenda ikawa ni Surprise kubwa, amesema Kiongozi huyo wa Chadema

Taarifa hii itawachanganya Makamanda wengi wanaoamini Mgombea Urais atakuwa Tundu Lisu

Aidha wako wanaodai Surprise hiyo itakuwa Mh Mchungaji Msigwa atakayerejea Chadema na kupewa Fursa ya kugombea Urais

Credit: Mwananchi

Usiku Mlale Unono 😀
We mzee wa Kihesa usiku tufanyaje?
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob aka Boni Yai amesema kuliko ilivyozoeleka mgombea Wao wa Urais wa JMT 2025 atawashangaza wengi

Huenda ikawa ni Surprise kubwa, amesema Kiongozi huyo wa Chadema

Taarifa hii itawachanganya Makamanda wengi wanaoamini Mgombea Urais atakuwa Tundu Lisu

Aidha wako wanaodai Surprise hiyo itakuwa Mh Mchungaji Msigwa atakayerejea Chadema na kupewa Fursa ya kugombea Urais

Credit: Mwananchi

Usiku Mlale Unono 😀
SIo kulala unono tu na njozi njema waote huku wanakojoa vichakani wakiamka vitanda wamevijaza mikojo!
 
Back
Top Bottom