Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Profesa George Wajackoyah , Mgombea Urais wa Kenya kupitia Chama cha Roots , amewaahidi Wakenya kwamba ikiwa atachaguliwa kuwa Rais wa Nchi hiyo katika Uchaguzi utakaofanyika August 2022 , ataruhusu bangi kulimwa hadi barabarani ili kuinua uchumi na kutoa ajira ya moja kwa moja na ya haraka kwa vijana
Akitetea hoja yake amedai kwamba , kwa sasa gunia moja la bangi kwenye soko la dunia ni Dola za kimarekani mil 3 , ambayo ni sawa na Shilingi za Kenya mil 352 , au sh bil 6.9 za Tanzania , wakati gunia moja la Maharage ni sh za Kenya elfu 6 au ni 116, 000 kwa hela za Tanzania .
Toa maoni yako
Akitetea hoja yake amedai kwamba , kwa sasa gunia moja la bangi kwenye soko la dunia ni Dola za kimarekani mil 3 , ambayo ni sawa na Shilingi za Kenya mil 352 , au sh bil 6.9 za Tanzania , wakati gunia moja la Maharage ni sh za Kenya elfu 6 au ni 116, 000 kwa hela za Tanzania .
Toa maoni yako