ADC Party
Member
- Sep 14, 2020
- 28
- 29
Mgombea Urais wa JMT kupitia Chama cha ADC, Queen Cuthbert Sendiga amepiga kura katika Kituo cha Ununio jijini Dar es Salaam ambapo amesema amejiandaa kwa namna yeyote.
Amesema, "Nikishinda nitashukuru kwasababu nitapata ile fursa kubwa ambayo nimekuwa na hamu ya kuipata ili niweze kuwatumikia Watanzania. Lakini pia kama kura hazikutosha bado haiwezi kunipa sababu ya kutokuwatumikia Watanzania"
Amesema, "Nikishinda nitashukuru kwasababu nitapata ile fursa kubwa ambayo nimekuwa na hamu ya kuipata ili niweze kuwatumikia Watanzania. Lakini pia kama kura hazikutosha bado haiwezi kunipa sababu ya kutokuwatumikia Watanzania"