Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia DP, Philipo John Fumbo: Vyombo vya habari vinatubagua

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia DP, Philipo John Fumbo: Vyombo vya habari vinatubagua

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Ameielezea JamiiForums masikitiko yake akidai vituo viwili vikubwa vya habari nchini vilikataa kwenda kwenye mkutano wake wa kampeni kwa sababu Waziri Mkuu alikuwa na Mkutano katika mkoa huo huo.

Anadai walimueleza kuwa wanashindwa kujigawa na kwenda kwa Waziri Mkuu aliyekuwa eneo la mjini zaidi.

“Nawashangaa sana wananiacha Mgombea Urais ambaye nikiwa Rais nitateua Waziri Mkuu wanaenda kwa Waziri Mkuu!”
 
Back
Top Bottom